iqna

IQNA

Ustadh Rajayi Ayoub
Qarii mashuhuri wa Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni fursa muhimu ya kuleta umoja miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3471915    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/13